Ijumaa, 26 Mei 2017

HABARI#IGPost, Maneno ya Diamond Platnumz baada ya kifo cha Ivan, mzazi mwenzake na Zari The Boss Lady…

Asubuhi ya May 25,2017 Afrika Mashariki iliamka na msiba mkubwa wa Ivan Semwanga baba watoto watatu wa Zari The Boss lady na mfanya biashara maarufu sana Uganda. Kifo chake kimegusa mastaa na mashabiki wengi wa bongo fleva.
Diamond Platnumz ambaye kwa sasa ndio mpenzi wa Zari na wana watoto wawili ameandika maneno haya baada ya kifo cha Ivan..”Mbele yako, Nyuma yetu…..”
Picha ya Dj Amani the  mixx masters
Picha ya Dj Amani the  mixx masters

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni