Asubuhi ya May 25,2017 Afrika Mashariki iliamka na msiba mkubwa wa Ivan Semwanga baba watoto watatu wa Zari The Boss lady na mfanya biashara maarufu sana Uganda. Kifo chake kimegusa mastaa na mashabiki wengi wa bongo fleva.
Diamond Platnumz ambaye kwa sasa ndio mpenzi wa Zari na wana watoto wawili ameandika maneno haya baada ya kifo cha Ivan..”Mbele yako, Nyuma yetu…..”
![Picha ya Dj Amani the mixx masters](https://scontent-jnb1-1.xx.fbcdn.net/v/t1.0-9/18622215_1700750916892734_3855450706403161828_n.jpg?oh=9846556c8081bee7082d4cc0b863890e&oe=59A69181)
![Picha ya Dj Amani the mixx masters](https://scontent-jnb1-1.xx.fbcdn.net/v/t31.0-8/18673278_1700750936892732_609198639525463807_o.jpg?oh=d2088b75569570925d87e78d21455d92&oe=59A0ED3E)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni