Miss TZ 2006, TZ Sweet Heart, Wema Sepetu ni miongoni mwa mastaa wa bongo walioguswa na msiba wa Ivan Semwanga, Baba watoto watatu wa Zari na Kupitia IG yake alitoa haya maneno kwaajili ya familia ya Ivan, watoto na mama watoto ambaye ni Zari The Boss Lady.
Ujumbe wa Wema ulikuwa Hivi….”Broken hearted…… Rest In Peace Ivan… … SHOCKING NEWS kwakweli… My Condolences to The whole Family… Mungu awatie nguvu wale watoto jamani… They are too young… And Mungu amtie nguvu Mama watoto wako… It will be a very hard period of time for all of you But it shall pass…“
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni