Msanii wa Bongo Fleva Diamond Platnumz ametumia IG Yake kuweka ujumbe huu kuhusu Kifo cha mama yake ZARI ambaye ni mama watoto wawili wa Diamond Platnumz.
Diamond Platnumz>Mwenyez Mungu ailaze Roho yako Mahali Pema Peponi Amini….
Mama mzazi wa Zari amefariki Asubuhi ya July 20 2017.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni